إِنَّهُۥ لَيۡسَ لَهُۥ سُلۡطَٰنٌ عَلَى ٱلَّذِينَ ءَامَنُواْ وَعَلَىٰ رَبِّهِمۡ يَتَوَكَّلُونَ
Hakika yeye hana madaraka juu ya walio amini na wakamtegemea Mola wao Mlezi.
Ali Muhsin Al - Swahili translation
Kwa hakika, Shetani hana uwezo wa kuwasaliti wenye kumuamini Mwenyezi Mungu na Mtume Wake na wanaomtegemea Mola wao.
الترجمة السواحلية - عبد الله محمد وناصر خميس