أَوَمَن يُنَشَّؤُاْ فِي ٱلۡحِلۡيَةِ وَهُوَ فِي ٱلۡخِصَامِ غَيۡرُ مُبِينٖ
Ati aliye lelewa katika mapambo, na katika mabishano hawezi kusema kwa bayana...?
Ali Muhsin Al - Swahili translation
Je, mnajasiri na kumnasibishia Mwenyezi Mungu mtu anayelelewa katika pambo asiyeweza kutasua hoja kwenye mjadala kwa sababu ya kukulia kwake kwenye pambo na starehe?
الترجمة السواحلية - عبد الله محمد وناصر خميس