بَيۡنَهُمَا بَرۡزَخٞ لَّا يَبۡغِيَانِ
Baina yao kipo kizuizi, zisiingiliane.
Ali Muhsin Al - Swahili translation
mojawapo haiingii sehemu ya nyingine na kuiondoa sifa yake, bali ya tamu inasalia kuwa tamu na ya chumvi inasalia kuwa chumvi pamoja na kukutana kwake.
الترجمة السواحلية - عبد الله محمد وناصر خميس