هَٰذِهِۦ جَهَنَّمُ ٱلَّتِي يُكَذِّبُ بِهَا ٱلۡمُجۡرِمُونَ
Hii ndiyo Jahannamu ambayo wakosefu wakiikanusha.
Ali Muhsin Al - Swahili translation
Wataambiwa hao wahalifu kwa njia ya kulaumiwa na kudhalilishwa, «Huu ndio moto wa Jahanamu ambao wahalifu duniani walikuwa wakiukanusha:
الترجمة السواحلية - عبد الله محمد وناصر خميس