مَّنَّاعٖ لِّلۡخَيۡرِ مُعۡتَدٍ أَثِيمٍ
Mwenye kuzuia kheri, dhaalimu, mwingi wa madhambi,
Ali Muhsin Al - Swahili translation
mwenye kuzuia sana ufanyaji wema, anayevuka mpaka wake katika kuwafanyia watu uadui na kutumia yaliyohartamishwa, mwingi wa madhambi,
الترجمة السواحلية - عبد الله محمد وناصر خميس