أُوْلَـٰٓئِكَ فِي جَنَّـٰتٖ مُّكۡرَمُونَ
Hao ndio watakao hishimiwa Peponi.
Ali Muhsin Al - Swahili translation
Hao waliosifika kwa sifa hizo njema, ni wenye kutulia kwenye mabustani ya Pepo ya starehe, ni wenye kukirimiwa humo kwa kila aina ya takrima.
الترجمة السواحلية - عبد الله محمد وناصر خميس