فَيَوۡمَئِذٖ لَّا يُسۡـَٔلُ عَن ذَنۢبِهِۦٓ إِنسٞ وَلَا جَآنّٞ
Siku hiyo hataulizwa dhambi zake mtu wala jini.
Ali Muhsin Al - Swahili translation
Katika Siku hiyo Malaika hawatawauliza wale wahalifu, miongoni mwa binadamu na majini, kuhusu dhambi zao.
الترجمة السواحلية - عبد الله محمد وناصر خميس