ترجمة معاني سورة القارعة باللغة السواحلية من كتاب Ali Muhsin Al - Swahili translation
ﰡ
آية رقم 1
ﭴ
ﭵ
Al-Kari'ah
Inayo gonga!
آية رقم 2
ﭶﭷ
ﭸ
Nini Inayo gonga?
آية رقم 3
ﭹﭺﭻﭼ
ﭽ
Na nini kitacho kujuilisha nini Inayo gonga?
آية رقم 4
ﭾﭿﮀﮁﮂ
ﮃ
Siku ambayo watu watakuwa kama nondo walio tawanyika;
آية رقم 5
ﮄﮅﮆﮇ
ﮈ
Na milima itakuwa kama sufi zilizo chambuliwa!
آية رقم 6
ﮉﮊﮋﮌ
ﮍ
Basi yule ambaye mizani yake itakuwa nzito,
آية رقم 7
ﮎﮏﮐﮑ
ﮒ
Huyo atakuwa katika maisha ya kupendeza.
آية رقم 8
ﮓﮔﮕﮖ
ﮗ
Na yule ambaye mizani yake itakuwa khafifu,
آية رقم 9
ﮘﮙ
ﮚ
Huyo maskani yake yatakuwa Moto wa Hawiya!
آية رقم 10
ﮛﮜﮝﮞ
ﮟ
Na nini kitacho kujuilisha nini hiyo?
آية رقم 11
ﮠﮡ
ﮢ
Ni Moto mkali!
تقدم القراءة