وَأَطِيعُواْ ٱللَّهَ وَٱلرَّسُولَ لَعَلَّكُمۡ تُرۡحَمُونَ
Na mt'iini Mwenyezi Mungu na Mtume ili mpate kurehemewa.
Ali Muhsin Al - Swahili translation
Na mtiini Mwenyezi Mungu, enyi waumini, katika yale Aliyowaamrisha kwayo ya twaa nay ale Aliyowakataza nayo ya kula riba na mengineyo. Na mtiini Mtume ili mpate kurehemewa na msiiadhibiwe.
الترجمة السواحلية - عبد الله محمد وناصر خميس