وَلِيُمَحِّصَ ٱللَّهُ ٱلَّذِينَ ءَامَنُواْ وَيَمۡحَقَ ٱلۡكَٰفِرِينَ
Na pia ili Mwenyezi Mungu awasafishe walio amini na awafutilie mbali makafiri.
Ali Muhsin Al - Swahili translation
Na kushindwa huku kuliotokea katika vita vya Uhud kulikuwa ni kuwafanyia mtihani, kuwasafisha Waumini, kuwatakasa na wanafiki na ni maangamivu kwa makafiri.
الترجمة السواحلية - عبد الله محمد وناصر خميس