وَدُّواْ لَوۡ تُدۡهِنُ فَيُدۡهِنُونَ
Wanatamani lau unge lainisha ili nao wakulainishie.
Ali Muhsin Al - Swahili translation
Wanatamani na wanapenda lau wewe unakuwa laini kwao na kuwakubalia baadhi ya misimamo waliyonayo, na wao wakawa laini kwako.
الترجمة السواحلية - عبد الله محمد وناصر خميس