وَٱتَّخَذُواْ مِن دُونِ ٱللَّهِ ءَالِهَةٗ لِّيَكُونُواْ لَهُمۡ عِزّٗا
Na wamechukua miungu mingine badala ya Mwenyezi Mungu ili ati iwape nguvu.
Ali Muhsin Al - Swahili translation
Na washirikina wamewachukua waungu wanaowaabudu badala ya Mwenyezi Mungu ili wawatetee na wajipatie nguvu kwao.
الترجمة السواحلية - عبد الله محمد وناصر خميس