وَنَسُوقُ ٱلۡمُجۡرِمِينَ إِلَىٰ جَهَنَّمَ وِرۡدٗا
Na tukawachunga wakhalifu kuwapeleka Jahannamu hali ya kuwa wana kiu.
Ali Muhsin Al - Swahili translation
na tutawaongoza wenye kumkanusha Mwenyezi Mungu kwa kuwasuta kwa nguvu kuwapeleka Motoni, wakitembea kwa miguu, wakiwa na kiu.
الترجمة السواحلية - عبد الله محمد وناصر خميس