يُرِيدُ أَن يُخۡرِجَكُم مِّنۡ أَرۡضِكُمۡۖ فَمَاذَا تَأۡمُرُونَ
Anataka kukutoeni katika nchi yenu. Basi mnatoa shauri gani?
Ali Muhsin Al - Swahili translation
«Yuwataka kuwatoa nyinyi nyote kwenye nchi yenu.» Fir'awn akasema, «Mnanipa shauri gani, enyi watu watukufu, juu ya mambo ya Mūsā?»
الترجمة السواحلية - عبد الله محمد وناصر خميس