ترجمة معاني سورة القارعة باللغة السواحلية من كتاب الترجمة السواحلية - عبد الله محمد وناصر خميس

الترجمة السواحلية - عبد الله محمد وناصر خميس

آية رقم 1
Kiyama chenye kugonga nyoyo za watu kwa vituko vyake.
آية رقم 2
Ni kitu gani hiko chenye kugonga?
آية رقم 3
Na ni lipi lililokujulisha ni kipi hiko chenye kugonga?
آية رقم 4
Siku hiyo watu watakuwa , kwa wingi wao, kugawanyika kwao na kuzunguka kwao, ni kama pandzi walioenea. Nao ni wale wanaojitupa motoni.
آية رقم 5
Na majabali yatakuwa ni kama pamba yenye rangi tofauti inayochambuliwa kwa mkono ikawa ni mapepe na ikamalizika.
آية رقم 8
Ama mwenye kuwa mizani za mema yake ni nyepesi na mizani za maovu yake ni nzito,
آية رقم 9
makazi yake yatakuwa ni Moto wa Jahanamu.
آية رقم 10
Ni lipi lililokujulisha, ewe Mtume, ni ipi hii Jahanamu inayoitwa «Hāwiyah»?
آية رقم 11
Ni Moto unaowaka sana kwa kuni ziliomo ndani yake.
تقدم القراءة