ترجمة معاني سورة الشمس باللغة السواحلية من كتاب Ali Muhsin Al - Swahili translation

Ali Muhsin Al - Swahili translation

آية رقم 1

As-Shams


Naapa kwa jua na mwangaza wake!
آية رقم 8

Kisha akaifahamisha uovu wake na wema wake,
آية رقم 11

Kina Thamudi walikadhibisha kwa sababu ya upotofu wao,
آية رقم 13

Hapo Mtume wa Mwenyezi Mungu alipo waambia: Huyu ni ngamia wa Mwenyezi Mungu, mwacheni anywe maji fungu lake.
آية رقم 14

Lakini walimkadhibisha na wakamchinja ngamia, kwa hivyo Mola wao Mlezi aliwaangamiza kwa sababu ya dhambi zao na akawafuta kabisa.
تقدم القراءة