وَنَرِثُهُۥ مَا يَقُولُ وَيَأۡتِينَا فَرۡدٗا
Na tutamrithi hayo anayo yasema, na atatufikia mtupu peke yake!
Ali Muhsin Al - Swahili translation
Na tutamrithi mali yake na watoto wake, na atatujia Siku ya Kiyama akiwa peke yake, hana mali wala watoto.
الترجمة السواحلية - عبد الله محمد وناصر خميس