فَوَيۡلٞ لِّلَّذِينَ كَفَرُواْ مِن يَوۡمِهِمُ ٱلَّذِي يُوعَدُونَ
Ole wao walio ikanusha siku yao waliyo ahidiwa.
Ali Muhsin Al - Swahili translation
maangamivu na usumbufu ni wa wale waliomkanusha Mwenyezi Mungu na Mtume Wake, kutokana na Siku yao wanayoahidiwa kuteremkiwa na adhabu, nayo ni Siku ya Kiyama.
الترجمة السواحلية - عبد الله محمد وناصر خميس