فَلَمَّا رَأَوۡهَا قَالُوٓاْ إِنَّا لَضَآلُّونَ
Basi walipo liona, wakasema: Hakika tumepotea!
Ali Muhsin Al - Swahili translation
Walipolishuhudia shamba lao limechomeka walilikataa na wakasema, ‘Kwa hakika tumepotea njia ya kulifikia!» na walipojua kuwa hilo ndilo shamba lao walisema,
الترجمة السواحلية - عبد الله محمد وناصر خميس