فَغُلِبُواْ هُنَالِكَ وَٱنقَلَبُواْ صَٰغِرِينَ
Kwa hivyo walishindwa hapo, na wakageuka kuwa wadogo.
Ali Muhsin Al - Swahili translation
Wakashindwa wachawi wote katika mahala walipokusanyika, na akaondoka Fir'awn na watu wake wakiwa wanyonge, waliozidiwa nguvu na kushindwa.
الترجمة السواحلية - عبد الله محمد وناصر خميس