فَوَقَعَ ٱلۡحَقُّ وَبَطَلَ مَا كَانُواْ يَعۡمَلُونَ
Kweli ikathibiti na yakabat'ilika waliyo kuwa wakiyatenda.
Ali Muhsin Al - Swahili translation
Hapo haki ikajitokeza na ikafunuka kwa aliyehudhuria na kuiona kuhusu mambo ya Mūsā, amani imshukie, na kuwa yeye ni Mtume wa Mwenyezi Mungu, analingania haki, na ukabatilika urongo waliokuwa wakiufanya.
الترجمة السواحلية - عبد الله محمد وناصر خميس