ترجمة معاني سورة التكوير باللغة السواحلية من كتاب Ali Muhsin Al - Swahili translation

Ali Muhsin Al - Swahili translation

آية رقم 4

Na ngamia wenye mimba pevu watakapo achwa wasishughulikiwe,
آية رقم 8

Na msichana aliye zikwa hai atapo ulizwa,
آية رقم 16

Zinazo kwenda, kisha zikajificha,
آية رقم 19

Kwamba hakika bila ya shaka hii ni kauli ya Mjumbe mtukufu,
آية رقم 23

Na hakika yeye alimwona kwenye upeo wa macho ulio safi.
تقدم القراءة