قَالُوٓاْ أَجِئۡتَنَا بِٱلۡحَقِّ أَمۡ أَنتَ مِنَ ٱللَّـٰعِبِينَ
Wakasema: Je! Umetujia kwa maneno ya kweli au wewe ni katika wachezao tu?
Ali Muhsin Al - Swahili translation
Wakasema, «Je, neno hili ambalo umekuja nalo kwetu ni la usawa na ukweli, au neno lako ni la mtu anayefanya mzaha na shere, hajui analosema?»
الترجمة السواحلية - عبد الله محمد وناصر خميس