وَأَدۡخَلۡنَٰهُ فِي رَحۡمَتِنَآۖ إِنَّهُۥ مِنَ ٱلصَّـٰلِحِينَ
Na tukamuingiza katika rehema yetu. Hakika yeye ni miongoni mwa watenda mema.
Ali Muhsin Al - Swahili translation
Na Mwenyezi Mungu Akamkamilishia nema, Akamtia ndani ya rehema Yake kwa kumuokoa na kile kilichowafikia watu wake kwa kuwa yeye alikuwa ni miongoni mwa wale wanaofanya matendo ya utiifu Kwake.
الترجمة السواحلية - عبد الله محمد وناصر خميس