وَإِنَّهُۥ لَهُدٗى وَرَحۡمَةٞ لِّلۡمُؤۡمِنِينَ
Nayo hakika ni Uwongofu na Rehema kwa Waumini.
Ali Muhsin Al - Swahili translation
Na kwa hakika, hii Qur’ani ni uongofu kutoka kwenye upotevu na ni rehema inayotoa kwenye adhabu kwa mwenye kuiamini na akajiongoza kwa uongofu wake.
الترجمة السواحلية - عبد الله محمد وناصر خميس