ترجمة معاني سورة الطارق باللغة السواحلية من كتاب Ali Muhsin Al - Swahili translation
ﰡ
آية رقم 1
ﭑﭒ
ﭓ
At-Tarik
Naapa kwa mbingu na Kinacho kuja usiku!
آية رقم 2
ﭔﭕﭖﭗ
ﭘ
Na nini kitakacho kujuulisha ni nini hicho Kinacho kuja usiku?
آية رقم 3
ﭙﭚ
ﭛ
Ni Nyota yenye mwanga mkali.
آية رقم 4
ﭜﭝﭞﭟﭠﭡ
ﭢ
Hapana nafsi ila inayo mwangalizi.
آية رقم 5
ﭣﭤﭥﭦ
ﭧ
Hebu naajitazame mwanaadamu ameumbwa kwa kitu gani?
آية رقم 6
ﭨﭩﭪﭫ
ﭬ
Ameumbwa kwa maji yatokayo kwa kuchupa,
آية رقم 7
ﭭﭮﭯﭰﭱ
ﭲ
Yatokayo baina ya mifupa ya mgongo na mbavu.
آية رقم 8
ﭳﭴﭵﭶ
ﭷ
Hakika Yeye ana uweza wa kumrudisha.
آية رقم 9
ﭸﭹﭺ
ﭻ
Siku zitakapo dhihirishwa siri.
آية رقم 10
ﭼﭽﭾﭿﮀﮁ
ﮂ
Basi hatakuwa na nguvu wala msaidizi.
آية رقم 11
ﮃﮄﮅ
ﮆ
Naapa kwa mbingu yenye marejeo!
آية رقم 12
ﮇﮈﮉ
ﮊ
Na kwa ardhi inayo pasuka!
آية رقم 13
ﮋﮌﮍ
ﮎ
Hakika hii ni kauli ya kupambanua.
آية رقم 14
ﮏﮐﮑ
ﮒ
Wala si mzaha.
آية رقم 15
ﮓﮔﮕ
ﮖ
Hakika wao wanapanga mpango.
آية رقم 16
ﮗﮘ
ﮙ
Na Mimi napanga mpango.
آية رقم 17
ﮚﮛﮜﮝ
ﮞ
Basi wape muhula makafiri - wape muhula pole pole.
تقدم القراءة