خَٰلِدِينَ فِيهَا لَا يُخَفَّفُ عَنۡهُمُ ٱلۡعَذَابُ وَلَا هُمۡ يُنظَرُونَ
Watadumu humo. Hawata-punguziwa adhabu wala hawatapewa muda wa kupumzika.
Ali Muhsin Al - Swahili translation
Watadumu kwenye laana na Moto. Hawatapunguziwa adhabu, wala hawatapumzishwa na kungojewa kwa udhuru wowote watakaoutoa.
الترجمة السواحلية - عبد الله محمد وناصر خميس