أَلَآ إِنَّهُمۡ هُمُ ٱلۡمُفۡسِدُونَ وَلَٰكِن لَّا يَشۡعُرُونَ
Hakika wao ndio waharibifu, lakini hawatambui.
Ali Muhsin Al - Swahili translation
Hili wanalolifanya na kudai kuwa ni utengefu ndio uharibifu wenyewe, lakini wao, kwa ujinga wao na ujeuri wao, hawana hisia ya hilo.
الترجمة السواحلية - عبد الله محمد وناصر خميس