فَلَمَّآ أَحَسُّواْ بَأۡسَنَآ إِذَا هُم مِّنۡهَا يَرۡكُضُونَ
Basi walipo ihisi adhabu yetu, mara wakaanza kukimbia.
Ali Muhsin Al - Swahili translation
Walipoiyona, madhalimu hawa, adhabu yetu kali ikiwashukia na wakaziona ishara zake, wakitahamaki wakawa wanakimbia kwa haraka kutoka mjini mwao.
الترجمة السواحلية - عبد الله محمد وناصر خميس