رَبِّ فَلَا تَجۡعَلۡنِي فِي ٱلۡقَوۡمِ ٱلظَّـٰلِمِينَ
Mola wangu Mlezi! Usinijaalie katika watu madhaalimu hao.
Ali Muhsin Al - Swahili translation
basi usiniangamize kwa ile uliyowaangamiza nayo. Na uniokoe na adhabu yako na hasira zako. Usiniweke pamoja na watu washirikina na madhalimu. Bali niingize kwa wale uliokuwa radhi nao.»
الترجمة السواحلية - عبد الله محمد وناصر خميس