مَا تَذَرُ مِن شَيۡءٍ أَتَتۡ عَلَيۡهِ إِلَّا جَعَلَتۡهُ كَٱلرَّمِيمِ
Haukuacha chochote ulicho kifikia ila ulikifanya kama kilio nyambuka.
Ali Muhsin Al - Swahili translation
hauachi kitu chochote unachokipitia isipokuwa hukifanya ni kama kitu kilichochakaa.
الترجمة السواحلية - عبد الله محمد وناصر خميس