ترجمة معاني سورة الزلزلة باللغة السواحلية من كتاب الترجمة السواحلية - عبد الله محمد وناصر خميس

الترجمة السواحلية - عبد الله محمد وناصر خميس

آية رقم 2
Na ikatoa vilivyomo ndani yake: wafu na makandi.
آية رقم 3
Na akauliza binadamu, kwa babaiko, «Imezukiwa na nini?»
آية رقم 4
Siku ya Kiyama ardhi itatoa habari ya mambo iliyofanyiwa ya uzuri na ubaya.
آية رقم 5
kwa kuwa Mwenyezi Mungu, Aliyetakasika na kutukuka, Ameiamuru itoe habari ya mambo iliyofanyiwa.
آية رقم 6
Siku hiyo wataondoka kutoka kwenye kisimamo cha Hesabu wakiwa makundi, ili Mwenyezi Mungu Awaoneshe waliyoyatenda, mazuri na mabaya, na Awalipe kwayo.
آية رقم 7
Yoyote mwenye kufanya jema wezani wa chungu mdogo atayaona malipo yake Akhera.
آية رقم 8
Na yoyote mwenye kufanya baya wezani wa chungu mdogo atayaona malipo yake Akhera.
تقدم القراءة