قَالُوٓاْ أَءِذَا مِتۡنَا وَكُنَّا تُرَابٗا وَعِظَٰمًا أَءِنَّا لَمَبۡعُوثُونَ
Walisema: Je! Tukisha kufa tukawa udongo na mifupa ndio tutafufuliwa?
Ali Muhsin Al - Swahili translation
walisema «Ati tutakapokufa na miili yetu ikatangamana na mchanga wa ardhi pamoja na mifupa yetu tutafufuliwa mara nyingine? Hili haliwi wala haliingii akilini.»
الترجمة السواحلية - عبد الله محمد وناصر خميس