وَقُل رَّبِّ أَعُوذُ بِكَ مِنۡ هَمَزَٰتِ ٱلشَّيَٰطِينِ
Na sema: Mola wangu Mlezi! Najikinga kwako na wasiwasi wa mashet'ani.
Ali Muhsin Al - Swahili translation
Na useme, ewe Nabii, «Mola wangu! Najilinda kwako na upotezaji wa Mashetani unaoupelekea kwenye ubatilifu na uharibifu na kuzuia watu wasiifuate haki.
الترجمة السواحلية - عبد الله محمد وناصر خميس