وَلُوطًا إِذۡ قَالَ لِقَوۡمِهِۦٓ أَتَأۡتُونَ ٱلۡفَٰحِشَةَ وَأَنتُمۡ تُبۡصِرُونَ
Na Lut'i alipo waambia watu wake: Je! Mnafanya uchafu nanyi mnaona?
Ali Muhsin Al - Swahili translation
Na mkumbuke na umtaje Lūṭ, aliposema kuwaambia watu wake, «Hivi nyinyi mnaleta kitendo ambacho ni upeo wa ubaya, nanyi mnajua ubaya wake?
الترجمة السواحلية - عبد الله محمد وناصر خميس