۞وَمَآ أَعۡجَلَكَ عَن قَوۡمِكَ يَٰمُوسَىٰ
Na nini kilicho kutia haraka ukawaacha watu wako, ewe Musa?
Ali Muhsin Al - Swahili translation
Na ni kitu gani kilichokuharakisha, ewe Mūsā, ukawatangulia watu wako kwenda upande wa kulia wa jabali la Tūr na ukawaacha nyuma yako?
الترجمة السواحلية - عبد الله محمد وناصر خميس