وَلَئِنۡ أَطَعۡتُم بَشَرٗا مِّثۡلَكُمۡ إِنَّكُمۡ إِذٗا لَّخَٰسِرُونَ
Na nyinyi mkimt'ii mtu kama nyinyi basi hakika mtakuwa khasarani.
Ali Muhsin Al - Swahili translation
«Na lau mtamfuata binadamu kama nyinyi, basi nyinyi mtakuwa wakati huo ni wenye kupata hasara kawa kuwaacha waungu wenu na kumfuata yeye.
الترجمة السواحلية - عبد الله محمد وناصر خميس