نُسَارِعُ لَهُمۡ فِي ٱلۡخَيۡرَٰتِۚ بَل لَّا يَشۡعُرُونَ
Ndio tunawahimizia kheri? Lakini wenyewe hawatambui.
Ali Muhsin Al - Swahili translation
Hakika tunawaharakishia haya mazuri kwa kuwatahini na kwa kuwavuta kidogo kidogo, lakini wao hawalihisi hilo.
الترجمة السواحلية - عبد الله محمد وناصر خميس