وَقَاسَمَهُمَآ إِنِّي لَكُمَا لَمِنَ ٱلنَّـٰصِحِينَ
Naye akawaapia: Kwa yakini mimi ni miongoni wa wanao kunasihini.
Ali Muhsin Al - Swahili translation
Na Shetani Aliwaapia Ādam na Ḥawwā’ kwa Mwenyezi Mungu kwamba yeye ni miongoni mwa wale wanaowapa nasaha kwa kuwashauri kula kutoka mti ule, huku yeye ni mrongo katika hilo.
الترجمة السواحلية - عبد الله محمد وناصر خميس