فَكَذَّبُوهُمَا فَكَانُواْ مِنَ ٱلۡمُهۡلَكِينَ
Basi wakawakanusha, na wakawa miongoni mwa walio angamizwa.
Ali Muhsin Al - Swahili translation
Basi wakawakanusha katika yale waliyokuja nayo, wakawa ni wenye kuangamizwa kwa kuzamishwa baharini.
الترجمة السواحلية - عبد الله محمد وناصر خميس