وَٱلشَّيَٰطِينَ كُلَّ بَنَّآءٖ وَغَوَّاصٖ
Na tukayafanya mashet'ani yamtumikie, wote wajenzi na wapiga mbizi.
Ali Muhsin Al - Swahili translation
Na tukamdhalilishia Mashetani, akawa anawatumia katika kazi zake. Katika wao kulikuwa na wajenzi na wazamiaji baharini.
الترجمة السواحلية - عبد الله محمد وناصر خميس