Tafsiri ya Sura Al-Ikhlas kwa السواحلية kutoka الترجمة السواحلية - عبد الله محمد وناصر خميس
Verse 1
ﭑﭒﭓﭔ
ﭕ
Sema, ewe Mtume, «Yeye Ndiye Mwenyezi Mungu Aliyepwekeka kwa ustahiki wa kuabudiwa, uumbaji na utakatifu wa Majina na Sifa, Asiye na mshirika katika hayo.
Verse 2
ﭖﭗ
ﭘ
«Mwenyezi Mungu Ambaye Peke Yake Ndiye Mwenye kukusudiwa kwa kukidhi haja na matakwa.
Verse 3
ﭙﭚﭛﭜ
ﭝ
«Hana mwana wala mzazi wala mke.
Verse 4
ﭞﭟﭠﭡﭢ
ﭣ
«Wala hakuna yoyote katika viumbe Vyake mwenye kufanana wala kushabihiyana na Yeye katika Majina Yake, Sifa Zake wala vitendo Vyake.»
تقدم القراءة