سورة الهمزة

الترجمة السواحلية - عبد الله محمد وناصر خميس

Tafsiri ya Sura Ali-Humazah kwa السواحلية kutoka الترجمة السواحلية - عبد الله محمد وناصر خميس

الترجمة السواحلية - عبد الله محمد وناصر خميس

Verse 1
Shari na maangamivu yatampata kila mwenye kusengenya watu na kuwatukana.
Verse 3
Akidhani kuwa mali yake ambayo ameyakusanya yatampa dhamana ya kuishi milele duniani na kuhepa kuhesabiwa.
Anavyodhania sivyo. Atatiwa ndani ya Moto ambao huvunjavunja kila kinachotiwa.
Verse 5
Lipi lililokujulisha, ewe Mtume, ni upi huo Moto unaovunjavunja?
Verse 7
Ambao kwa ukali wake hupenyeza miilini ukafikia kwenye nyoyo.
Verse 8
Moto huo umefungiwa juu yao wakiwa wametiwa minyororo
تقدم القراءة