سورة الشرح

الترجمة السواحلية - عبد الله محمد وناصر خميس

Tafsiri ya Sura As-Sarhi kwa السواحلية kutoka الترجمة السواحلية - عبد الله محمد وناصر خميس

الترجمة السواحلية - عبد الله محمد وناصر خميس

Verse 1
Kwani Hatukukunjulia, ewe Mtume, kifua chako kwa sheria za Dini, kulingania watu kwa Mwenyezi Mungu na kujipamba kwa tabia nzuri,
Verse 2
Tukakuondolea mazito yako yaliyoemea mgongo wako
Verse 5
Usirudi nyuma katika kueneza ujumbe uliotumwa nao kwa makero ya maadui zako. Kwani kwenye dhiki kuna faraji.
Verse 7
Basi utakapomaliza mambo ya kidunia na shughuli zake jipinde kwa kufanya ibada.
Verse 8
Na kwa Mola wako Peke Yake weka matumaini yako.
تقدم القراءة