سورة القارعة

الترجمة السواحلية - عبد الله محمد وناصر خميس

Tafsiri ya Sura Al-Kari'ah kwa السواحلية kutoka الترجمة السواحلية - عبد الله محمد وناصر خميس

الترجمة السواحلية - عبد الله محمد وناصر خميس

Verse 1
Kiyama chenye kugonga nyoyo za watu kwa vituko vyake.
Siku hiyo watu watakuwa , kwa wingi wao, kugawanyika kwao na kuzunguka kwao, ni kama pandzi walioenea. Nao ni wale wanaojitupa motoni.
Verse 5
Na majabali yatakuwa ni kama pamba yenye rangi tofauti inayochambuliwa kwa mkono ikawa ni mapepe na ikamalizika.
Verse 8
Ama mwenye kuwa mizani za mema yake ni nyepesi na mizani za maovu yake ni nzito,
Verse 9
makazi yake yatakuwa ni Moto wa Jahanamu.
Verse 10
Ni lipi lililokujulisha, ewe Mtume, ni ipi hii Jahanamu inayoitwa «Hāwiyah»?
Verse 11
Ni Moto unaowaka sana kwa kuni ziliomo ndani yake.
تقدم القراءة