Tafsiri ya Sura An-Nas kwa السواحلية kutoka الترجمة السواحلية - عبد الله محمد وناصر خميس
Verse 1
ﮀﮁﮂﮃ
ﮄ
Sema, ewe Mtume, «Ninajilinda na kutaka hifadhi kwa Bwana wa watu, Mwenye uweza, Peke Yake, wa kulirudisha shari lao.
Verse 2
ﮅﮆ
ﮇ
«Mfalme wa watu, Mwenye kupeleka mambo yao yote Anavyotaka, Aliye Mkwasi kutowahitajia.
Verse 3
ﮈﮉ
ﮊ
«Mola wa watu, Ambaye hapana mwenye kuabudiwa kwa haki isipokuwa Yeye.
Verse 4
ﮋﮌﮍﮎ
ﮏ
«Kutokana na udhia wa shetani ambaye hutia watu wasiwasi wanapoghafilika na hujificha atajwapo Mwenyezi Mungu.
Verse 5
ﮐﮑﮒﮓﮔ
ﮕ
«Mwenye kupenyeza shari na shaka kwenye vifua vya watu.
Verse 6
ﮖﮗﮘ
ﮙ
«Miongoni mwa mashetani wa kijini na kibinadamu.»
تقدم القراءة