Tafsiri ya Sura Al-Kari'ah kwa السواحلية kutoka Ali Muhsin Al - Swahili translation
Verse 1
ﭴ
ﭵ
Al-Kari'ah
Inayo gonga!
Verse 2
ﭶﭷ
ﭸ
Nini Inayo gonga?
Verse 3
ﭹﭺﭻﭼ
ﭽ
Na nini kitacho kujuilisha nini Inayo gonga?
Verse 4
ﭾﭿﮀﮁﮂ
ﮃ
Siku ambayo watu watakuwa kama nondo walio tawanyika;
Verse 5
ﮄﮅﮆﮇ
ﮈ
Na milima itakuwa kama sufi zilizo chambuliwa!
Verse 6
ﮉﮊﮋﮌ
ﮍ
Basi yule ambaye mizani yake itakuwa nzito,
Verse 7
ﮎﮏﮐﮑ
ﮒ
Huyo atakuwa katika maisha ya kupendeza.
Verse 8
ﮓﮔﮕﮖ
ﮗ
Na yule ambaye mizani yake itakuwa khafifu,
Verse 9
ﮘﮙ
ﮚ
Huyo maskani yake yatakuwa Moto wa Hawiya!
Verse 10
ﮛﮜﮝﮞ
ﮟ
Na nini kitacho kujuilisha nini hiyo?
Verse 11
ﮠﮡ
ﮢ
Ni Moto mkali!
تقدم القراءة