سورة الحاقة

Ali Muhsin Al - Swahili translation

Tafsiri ya Sura Al-Hakkah kwa السواحلية kutoka Ali Muhsin Al - Swahili translation

Ali Muhsin Al - Swahili translation

Verse 1

Al-Hakkah


Tukio la haki.

Wakamuasi Mtume wa Mola wao Mlezi, ndipo Yeye Mola akawakamata kwa mkamato ulio zidi nguvu.
Verse 27

Laiti mauti ndiyo yangeli kuwa ya kunimaliza kabisa.
Verse 30

(Pasemwe): Mshikeni! Mtieni pingu!
Verse 40

Kwa hakika hii ni kauli iliyo letwa na Mjumbe mwenye hishima.
Verse 45

Bila ya shaka tungeli mshika kwa mkono wa kulia,

Na hakika Sisi bila ya shaka tunajua kwamba miongoni mwenu wapo wanao kadhibisha.
Verse 50

Na hakika bila ya shaka itakuwa ni majuto kwa wanao kataa.
Verse 51

Na hakika hii bila ya shaka ni haki ya yakini.
تقدم القراءة