سورة الإنسان

Ali Muhsin Al - Swahili translation

Tafsiri ya Sura Al-Insan kwa السواحلية kutoka Ali Muhsin Al - Swahili translation

Ali Muhsin Al - Swahili translation


Hakika Sisi tumemuumba mtu kutokana na mbegu ya uhai iliyo changanyika, tumfanyie mtihani. Kwa hivyo tukamfanya mwenye kusikia, mwenye kuona.

Na atawajazi Bustani za Peponi na maguo ya hariri kwa vile walivyo subiri.

Na vivuli vyake vitakuwa karibu yao, na mashada ya matunda yataning'inia mpaka chini.
تقدم القراءة