Tafsiri ya Sura Al-Fatiha kwa السواحلية kutoka Ali Muhsin Al - Swahili translation
Verse 1
ﭑﭒﭓﭔ
ﭕ
Al-Fatiha
KWA JINA LA MWENYEZI MUNGU MWINGI WA REHEMA MWENYE KUREHEMU.
Verse 2
ﭖﭗﭘﭙ
ﭚ
Sifa njema zote ni za Mwenyezi Mungu, Mola Mlezi wa viumbe vyote;
Verse 3
ﭛﭜ
ﭝ
Mwingi wa Rehema Mwenye Kurehemu;
Verse 4
ﭞﭟﭠ
ﭡ
Mwenye Kumiliki Siku ya Malipo.
Verse 5
ﭢﭣﭤﭥ
ﭦ
Wewe tu tunakuabudu, na Wewe tu tunakuomba msaada.
Verse 6
ﭧﭨﭩ
ﭪ
Tuongoe njia iliyo nyooka,
Verse 7
Njia ya ulio waneemesha, siyo ya walio kasirikiwa, wala walio potea.
تقدم القراءة